Image
Image

EXCLUSIVE: MWANDISHI NURU FM, AKAMATWA KUFUATIA VURUGU ZA LEO.


HILI NI GARI LA MCHUNGAJI PETER MSIGWA LIKIWA LIMESIMAMA HAPO, KABLA YA KUKAMATWA NA POLISI LEO.

ASKARI WAKIWA WANASHUKA KWENYE GARI KWA LENGO LA KUMKAMATA MCH. PETER MSIGWA.
MCH. PETER MSIGWA.
Kufuatia vurugu  za  machinga na polisi huko mkoani Iringa  jeshi la  polisi kumkamata  mtangazaji  wa kituo cha Radio Nuru cha  FM Husein Farahan wakati akiwa njiani kuelekea  kazini.

Mtangazaji huyo amekamatwa leo wakati akielekea kazini , inadaiwa  kupigwa  virungu na jeshi la polisi  wakati akikamatwa  pamoja na watu wengine 60 akiwemo  mbunge wa  jimbo  hilo mchungaji Peter Msigwa.

Share on Google Plus

Kuhusu TAMBARARE HALISI

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

1 comments: