Image
Image

JESHI LA POLISI WAKANUSHA UJUMBE WA RC ULIOTUMWA KWA MBUNGE LEMA

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
kutoka ofisi ya kamanda wa plisi mkoa wa Arusha
KUHUSU TUHUMA ZILIZOTOLEWA NA MBUNGE WA ARUSHA MH.GODBLES LEMA KUTUHUMUWA UJUMBE WA VITISHO NA MKUU WA MKOA WA ARUSHA MH.MAGESA MULONGO

NDUGU WANA HABARI mtakumbuka kwamba katika kipindi cha mwishoni mwa mwezi APRILI 2013 vyombo vingi vya habari vikiwemo radio magazeti namitandao ya kijamii vili andika na kutangaza habari iliyoelezea shutuma zilizo tolewana mbunge wa Arusha Mh.GODBLES LEMA kuwa ali andikiwa ujumbe wa vitisho kwa njia ya simu na mkuu wa mkoa wa Arusha Mh. MAGESA MULONGO uliosomea..
Share on Google Plus

Kuhusu TAMBARARE HALISI

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment