Image
Image

HII NDIO TASWIRA YA SIKU YA POLISI ILIVYOADHIMISHWA MKOANI MOROGORO

 Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Morogoro Faustini Shilogile akitoa taarifa kuhusu maadhimisho ya miaka 94 ya Jeshi la Polisi Nchini iliyoadhimishwa jana, Ambapo Askari wa Jeshi la Polisi Mkoani Morogoro walifanya usafi kwenye Kambi ya  kulea wazee na wasiojiweza ya Funga funga na Kutoa msaada kwa wazee hao pamoja na watoto yatima wa kituo cha Mgolole.




 Mwenyeki wa wazee  akitoa Neno la shukrani wakati wa ugeni huo wa polisi walivyotembelea kambi yao ya wazee na wasiojiweza wa funga funga Mkoa Morogoro.



 Bibi aliyekuwa kwenye kambi ya wazee wa Funga funga anakadiriwa kuwa na miaka 105.

 Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Morogoro Faustini Shilogile akiwa Na Mkuu wa Upelelezi Mkoa wa Morogoro  Japhet Kibona wakifanya usafi katika kambi ya kulea wazee na wasiojiweza ya Funga funga

  Askari wa Jeshi la Polisi Mkoani Morogoro wakishirikian kufanya Usafi katika kambi ya wazee hao.






Share on Google Plus

Kuhusu TAMBARARE HALISI

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment