Image
Image

HIVI NDIVYO INAVYO ONEKANA BAA YA SAMAKI SAMAKI BAADA YA KUTEKETEA KWA MOTO JIJINI DSM.



 KIOTA maarufu cha starehe jijini Dar es Salaam cha Samaki Samaki tawi la Mbezi–Makonde jijini Dar es Salaam leo kimeteketea kwa moto. Moto huo ambao bado haijafahamika umetokana na nini umeteketekeza kila kitu kwenye Mgahawa huo.

Samaki Samaki ikiteketekea kwa moto Bar ya Samaki samaki iliyopo maeneo ya Mbezi beach. 

Share on Google Plus

Kuhusu TAMBARARE HALISI

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment