Image
Image

KITENGO CHA KUDHIBITI UGONJWA WA MALARIA ZANZIBAR CHAFANYA MKUTANO NA WANDISHI WA HABARI JUU YA MIKAKATI YA KUTOKOMEZA MALARIA ZANZIBAR

 Mwandishi wa Habari Juma Abdallah wa Zenji Fm Radio akiuliza suali kwa Mtaalamu wa mbu waenezao Malaria katika Kitengo cha kudhibiti Malaria Zanzibar (ZMCP) Khamis Ameir (hayupo pichani) juu ya mikakati ya upigaji dawa huko katika ukumbi wa kitengo cha kuzibiti Malaria mwanakwerekwe Zanzibar.


 Kaimu Meneja wa Kitengo cha kudhibiti Malaria Zanzibar (ZMCP) Mwinyi Issa Mselem akifafanu kitu juu ya mikakati ya kumaliza Malaria Zanzibar katika mkutano na Waandishi wa Habari, huko katika ukumbi wa kitengo cha kuzibiti Malaria mwanakwerekwe Zanzibar.
 Mtaalamu wa mbu waenezao Malaria katika Kitengo cha kudhibiti Malaria Zanzibar (ZMCP) Khamis Ameir, akionyesha moja mbu waenezao Malaria katika mkutano na Waandishi wa Habari huko katika ukumbi wa kitengo cha kuzibiti Malaria mwanakwerekwe Zanzibar.

Baadhi ya Waandishi wa Habari waliokuwepo katika  ukumbi wa kitengo cha kuzibiti Malaria mwanakwerekwe Zanzibar, wakifuatilia kwa makini taarifa ya Kaimu Meneja wa Kitengo cha kuzibiti Malaria Zanzibar (ZMCP) Mwinyi Issa Mselem hayupo pichani. 
(Picha na Makame Mshenga Maelezo Zanzibar).

Share on Google Plus

Kuhusu TAMBARARE HALISI

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment