Image
Image

MSD YAKABIDHI VYETI VYA ISO 9001:2008,KWA MAAFISA 10 UDHIBITI BORA WA BOHARI YA DAWA

 Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii,Dkt.Hussein  Mwinyi,akitoa hotuba yake jana Agosti 27-2013 ,wakati wa kuwakabidhi vyeti vya uchukuaji wa sampuli kwa ajili ya uhakiki bora kwa Maafisa kumi 10 Udhibiti Ubora wa bohari ya dawa,pamoja na kukabidhi cheti cha ithibati kwa Bohari ya Madawa(MSD)hafla hiyo ilifanyika kwenye Ukumbi wa Hoteli ya Serena jijini Dar ea salaam.


 Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii,Dkt.Hussein  Mwinyi(kulia)akimkabidhi cheti Kaimu Mkurugenzi Mkuu Bohari ya Dawa(MSD)Cosmas Mwaifwani, cha ithibati kwa Bohari ya Madawa(wakwanza kushoto)Mwezeshaji kutoka(ACM)Andrew Rowe(watatu kulia)Mwenyekiti  Bodi ya Wadhamini(MSD).
 Maafisa kumi 10 Udhibiti Ubora wa bohari ya dawa,wakionesha vyeti vyao mara baada kukabidhiwa kwenye hafla hiyo iliyofanyika kwe Hoteli ya Serena jijini Dar es salaam.
 Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii,Dkt.Hussein  Mwinyi(kushoto kwake)Kaimu Mkurugenzi Mkuu Bohari ya Dawa(MSD)Cosmas Mwaifwani,anaefuatia,Wina Shango Wizara ya Afya,na Mkurugenzi Mkuu wa mamlaka ya Dawa na chakula(TFDA)Hiiti Sillo,wakiwa kwenye hafla hiyo.




Kaimu Mkurugenzi Mkuu Bohari ya Dawa(MSD)Cosmas Mwaifwani,akiielezea ISO 900I viwango vya menejimenti ya mifumo ya ubora(Quality Management Systems)wakati wa kuwakabidhi vyeti vya uchukuaji wa sampuli kwa ajili ya uhakiki bora kwa Maafisa kumi 10 Udhibiti Ubora wa bohari ya dawa,pamoja na kukabidhi cheti cha ithibati kwa Bohari ya Madawa(MSD)hafla hiyo ilifanyika kwenye Ukumbi wa Hoteli ya Serena jijini Dar ea salaam.
Share on Google Plus

Kuhusu TAMBARARE HALISI

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment