Image
Image

TAASISI BINAFSI NCHINI TANZANIA YAWATAKA VIJANA KUJIKUZA KIUCHUMI.


Taasisi ya kibinafsi nchini Tanzania imewataka vijana nchini humo kujikuza kibiashara ili kuimarisha maisha yao na pia uchumi wa taifa nzima.

Mwenye kiti wa taasisi hiyo Reginald Mengi akiongea katika hafla ya kimaendeleo jiji Dar es Salaam amesema vijana hulalamika kila wakati kwa kukosa ajira lakini wana fursa za kibishara. 

Amesema vijana ndio wanaoweza kujikomboa kutoka katika mtego wa kukosa mapato. 

Mengi ameeeleza kuwa kuna fursa nyingi sana za kiuchumi na kibiashara kwa vijana ikiwa tu watatumia elimu yao na pia ubunifu kujistawisha kiuchumi.

Share on Google Plus

Kuhusu TAMBARARE HALISI

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment