Image
Image

HIVI NDIVYO WAZIRI MKUU, MIZENGO PINDA ANAVYOONEKANA WAKATI AKIENDELEA NA ZIARA YAKE MJINI CHENGDU CHINA.


Waziri Mkuu, Mizengo pinda akizungumza na viongozi wa Kampuni ya Hinan Intternational Limited waliojipenga kuwekeza katika uboreshaji wa uzalishaji wa zao la pamba katika mikoa ya Shinyanga na Simiyu jijini Chendu akiwa katika ziara ya nchini China Oktoba 22, 2013. Wann kusoto ni Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga, Nasoro Rufanga na watano kushoto ni mkuu wa mkoa wa Simiyu.



Waziri mkuu, Mizengo Pida na Mkewe Tunu wakitembelea Kituo Cha Utafiti wa wanyama aina ya Panda nje kitogo ya jiji la Chendu nchini China Oktoba 22, 2013.


Waziri Mkuu, Mizengo Pinda kisalimiana na Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Bio Energy Ya Berlin, Alexander Boiton baada ya mazungumzo yao mjini Chengdu akiwa katika ziara ya kikazi nchini China Oktoba 22, 2013. Wapili kulia ni Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Chengdu De Tong Environmental Engineering Co Limited , Tong Boitin ba watatu kulia ni Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Katani Limited, Salum Shamte.


Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu.



Share on Google Plus

Kuhusu TAMBARARE HALISI

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment