Uongozi wa Mkoa wa Mtwara umesema u tapambana na wezi na walaghai wanaochangia mkulima wa kurosho kuendelea kuwa masikini licha ya kutumia nguvu na gharama kubwa katika kuzalisha zao hilo.
Mkuu wa Mkoa wa Mtwara , Bibi HALIMA DENDEGO ametoa kauli hiyo alipokuwa akifungua mkutano wa kazi wa wadau wa korosho unaofanyika Wilayani Masasi na kuwashirikisha wakuu wa wilaya na wakurugenzi kutoka mikoa ya Mtwara na Lindi.
Amesema baadhi ya watu wameendelea kufaidika na zao la korosho, hivyo ametaka watambue kuwa Serikali ipo kwa ajili ya kusimamia haki hivyo itapambana nao kwa g harama y o yote ,lengo likiwa kumkomboa mkulima.
Kwa upande wake ,Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Korosho , Bwana MFAUME JUMA amesema njia pekee ya kumkomboa m kulima ni kujenga viwanda vya kubangua korosho nchini na tayari mipango hiyo inaendelea vema.
Home
News
Uongozi mkoani mtwara waapa kupambana na walaghai wanao didimiza wakulima wa korosho na kuwafanya kuwa Masikini.
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)
0 comments:
Post a Comment