Image
Image

Rais wa ukraine Petro Poroshenko asema waasi wa nchi hiyo wameondoa silaha nzito

Rais wa Ukraine Petro Poroshenko amesema waasi wanaoungwa mkono na Urusi mashariki mwa nchi hiyo wameondoa kiasi kikubwa cha silaha kubwa.

Akiongea kwa njia ya televisheni, Poroshenko amesema vikosi vya serikali navyo vimerejesha nyuma makombora yake ya roketi pamoja na silaha nzito.

Chini ya makubaliano yaliyofikiwa mwezi uliopita pande zote mbili zilipaswa kuondo silaha zao mwanzoni mwa mwezi huu.
Share on Google Plus

Kuhusu TAMBARARE HALISI

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment