Abiria mmoja amefariki dunia na wengine 20
kujeruhiwa huku wawili kati yao hali zao zikielezwa kuwa ni mbaya kutokana na
ajali hiyo ambayo imehusisha basi la Air Jordan lililokuwa likitokea Mwanza kuelekea
Dar,chanzo cha ajali ni Mwendokasi na ajali hiyo imetokea katika eneo la nzega
mkoani Tabora.
This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
0 comments:
Post a Comment