Image
Image

News Alert:Tatizo la wajawazito kupoteza maisha wakati wa kujifungua labainikia Mkoani Tabora.


Tatizo la vifo vya  wajawazito  wakati wa kujifungua iliyokuwa ikisababishwa na miundo mbinu ya vijijini Mkoani Tabora,imepatiwa ufumbuzi  baada ya mkoa huo kupatiwa magar i madogo 16 aina ya Suzuki Vitara yanayoweza kupita sehemu finyu, huku yakitumia mafuta kidogo kwa lengo la kupunguza gharama za uendeshaji.
Akizungum za katika makabidhiano  ya magar i hayo yaliyotolewa na Care Canada, chini ya Mradi wa Tabasamu,ambao umekuwa ukishirikiana na Serikali ya Mkoa wa Tabora katika kuihamasisha jamii juuu ya kupunguza vifo vya akinamama na watoto,Mganga Mkuu wa Mkoa wa Tabora,Dakta  GUNINI KAMBA  amesema,mkoa una  tatizo la usafiri kwa akinamama na  kwamba magari hayo  yatasaidia ku l ipunguza.
Akikabid hi magar i hayo yenye thamani ya Shilingi Milioni 479, Mkurugenzi wa Care Canada , Bibi   ROZE MARY FORBES amesema, kwa m u da waliofanya kazi ya huduma za akinamama na watoto Mkoani Tabora,usafiri ni  tatizo  inayoukabili Mkoa wa Tabora .
Share on Google Plus

Kuhusu TAMBARARE HALISI

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment