Image
Image

Watu wapatao 40 wameuawa na wengine zaidi ya 100 wamejeruhiwa baada ya ndege–vita za mseto Yemen, Sanaa.


Watu wapatao 40 wameuawa na wengine zaidi ya 100 wamejeruhiwa baada ya ndege–vita  za mseto wa washirika unaoongozwa na Saudi Arabia ku shambulia kambi ya waasi katika  mji mkuu wa Yemen, Sanaa.
Maafisa na mashuhuda wanasema kambi iliyoshambuliwa ni kitengo cha makomandoo  wenye  ushirika na waasi wa kikundi cha Houthi ambach o washirika wamekuwa wanajaribu  kuharibu nguvu zake za kijeshi.
Shambulio hilo lililolenga pia ghala la silaha li liripotiwa baada ya mashambulio  mengine ya anga katika jimbo la Hajjah kaskazini mwa  Yemen karibu na mpaka wa Saudi  Arabia.
Mashambulio yote yalitokea wakati watu wen ye silaha wa kikundi cha Houthi  waliposhambulia sehemu za mpaka na Saudi Arabia.
Share on Google Plus

Kuhusu TAMBARARE HALISI

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment