Image
Image

SERIKALI:Ili kukabiliana na ajali za Barabarani lazima abiria wakubali polisi kufanya ukaguzi vyombo vya Moto.


Serikali   imesema ili kukabiliana na ajali  za barabarani lazima abiria wakubali  polisi kufanya  ukaguzi  wa  vyombo vyao vya usafiri pindi askari  anapoona kuna haja ya  kufanya  hivyo na siyo  kuwatukana  na  kuwatoleea  kauli chafu pindi wanapojaribu kuwasimamisha kwa lengo la kufanya  ukaguzi .
Hayo  yamesemwa na  Naibu waziri wa  Mambo  ya Ndani ya Nchi ,PEREIRA AME  SILIMA alipokuwa  akijibu swali la Mbunge wa Kibaha Mjini,SILIVESTER  KOKA,aliyetaka kujua  ni taratibu gani  zinazotakiwa kufuatwa na pande zote  zinazohusika na ajali.
Naibu Waziri  amesema tara tibu za sheria za kushughulikia makosa ya usa lama barabarani ni zile zinazotumika  katika kushugh ulikia makosa   mengine ya jinai .
A mesema iwapo usalama wa maisha ya dereva utakuwa hatarini,dereva anapaswa  kujisalimisha katika kituo cha polisi  cha karibu  pamoja  na  kutoa  ta a rifa  ya  ajali  hiyo na kuongeza kuwa  sheria ya usalama barababani  inaeleza kwamba iwapo  ajali inahusisha  majeruhi dereva   analazimika  kutoa  taarifa   zake  na  za mmiliki  wa gari kwa  askari au  mlinzi wa amani aliyepo karibu.
Share on Google Plus

Kuhusu TAMBARARE HALISI

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment