Image
Image

Forbes laanika orodha ya majina 10 ya watu maarufu waliolipwa zaidi mwaka 2015.

Jay Z Na mke wake Beyonce wameshindwa kukamata nafasi za juu kwenye orodha ya watu maarufu waliolipwa zaidai mwaka 2015. Jarida la Forbes limetoa watu maarufu 100 waliolipwa zaida mwaka huu. Beyonce ameshika namba #29 akiwa na pesa dola milioni $54.5
Hii ndio orodha ya kumi bora.

1. Floyd Mayweather: $300 million
2. Manny Pacquiao: $160 million
3. Katy Perry: $135 million
4. One Direction: $130 million
5. Howard Stern: $95 million
6. Garth Brooks: $90 million
7. James Patterson: $89 million
8. Robert Downey Jr.: $80 million
9. Taylor Swift: $80 million
10. Cristiano Ronaldo: $79.5 million

Share on Google Plus

Kuhusu TAMBARARE HALISI

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment