Image
Image

Wiz Kid awatolea uvivu waandaji wa tuzo za BET.

Baada ya msanii kutoka Ghana Fuse ODG kuwachana waandaji wa Bet kwa kutoa tuzo za wasanii wa Afrika mapema kabla ya show na eneo wanalopokelea tuzokuwa ni back stage, msanii mwingine mkubwa wa Nigeria ‘Wiz Kid’ pia amefanya hivyo.
Kupitia kurasa yake ya twitter Wiz anasema hakuhudhuria tuzo hizo zilizofanyika jumapili ya tarehe 28 June sababu hakuona maana kama angepata tuzo angeipokea saa nne asubuhi kabla ya show, Wiz anaendelea kusema kuwa hana imani na tuzo sababu ni watu wamekuja pamoja kutayarishwa show yao tu.
Share on Google Plus

Kuhusu TAMBARARE HALISI

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment