Image
Image

Watu 28 wamekufa na wengine zaidi ya 20 wamejeruhiwa baada ya bomu lililokuwa kwenye gari kulipuka Mji Mkuu wa Yemen Sanaa .



Watu 28 wamekufa  na wengine zaidi  ya 20 wamejeruhiwa baada ya bomu lililokuwa kwenye gari kulipuka jirani na hospitali ya jeshi katika Mji Mkuu wa Yemen,  Sanaa .

Katika  taarifa iliyowekwa kwenye mtndao kikundi cha  Islamic State   cha Iraq  kimedai kuhusika na shambulio hilo la bomu na kuongeza kuwa kimeandaa shambulio  ilichosema dhidi ya Kiota cha Washia kwenye Mji wa Sanaa.

Bomu hilo liliwalenga ndugu wawili  wa kiongozi wa waasi wa Houthi, ambao ni  FAY SALna  HAMID JAYACHE   kwenye  mkusanyiko wa maziko ya mwanafmilia wao mmoja.

Muungano wa kijeshi unaoongozwa na  Saudi Arabia  umekuwa ukishambulia kwa mabomu maeneo yanayaokaliwa na    Wahouthi  wengi  Mjini Sanaa kwa lengo la kutaka kumrejesha Rais  wa Yemen aliye uhamishoni  nchini Saudi Arabia Bwana ABD-RABBU MANSOUR HADI.
Share on Google Plus

Kuhusu TAMBARARE HALISI

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment