Image
Image

Don Jazzy atoa ushauri kwa wasanii wachanga.

Producer na Boss wa Mavin Records Dynasty Don Jazzy amewapa ushauri wasanii chipukizi na underground wa Afrika. Don Jazzy amesisitiza zaidi kwenye kujitambua na kutotumia dawa za kulevya ili kutengeneza kazi bora zaidi. Don jazzy anasema yeye ametengeneza nyimbo zilizo shika chati zaidi ya 100 na hajawahi kuvuta bangi.

Share on Google Plus

Kuhusu TAMBARARE HALISI

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment