Image
Image

''Magaidi wataulizwa kwa kila uhalifu waliotenda''.


Recep Tayyip Erdogan katika hotuba yake aliotowa katika hafla ambayo mkuu wa majeshi Necdet Ozel alimuachia uongozi jenerali Hulusi Akar, alizumgumzia kuhusu mashambulizi ya kigaidi yaliotokea siku za nyuma.
Rais Erdogan alifahamisha kuwa magaidi wanaotaka kuyumbisha usalama na kuharibu umoja wa raia wa Uturuki wataendelea kupata majibu kama inavyostahili.
Erdogan alizidi kufahamisha kuwa magaidi wanaoendesha mashambulizi wataulizwa kwa kila kitendo wanachotenda dhidi ya raia.


Share on Google Plus

Kuhusu TAMBARARE HALISI

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment