Image
Image

Breaking News:Mahakama kuu DSM yapiga marufuku kulinda kura na kukaa mita 200 kwani ni kinyume cha sheria.


Mahakama kuu kanda ya Dar es Salaam imetoa maamuzi ya kesi ya kikatiba iliyofunguliwa na kada wa Chadema  anayeiomba mahakama  hiyo kutoa uamuzi  wa kwamba wananchi wanatakiwa kukaa mita ngapi baada ya kupigakura.

Mahakama hyo imesema kuwa ni marufuku kwa wananchi kukusanyika katika kituo cha kupigia kura na hata njee ya mita 200 hairuhusiwi kwani ni kinyume cha sheria.

Kesi hiyo ambayo iilikuwa inasikilizwa na jopo na majaji watatu wakiongozwa na jaji Sakieti Kihiyo ambayo imekuwa ikifuatiliwa na wadau mbalimbali wakitaka kujuwa nini hatima ya shauri hilo kwani umbali sula la umbali wa upi watu wanapaswa kuka bada ya kupiga kura umekuwa ni moja ya mambo yanayozungumziwa sana kwa wapiga kura.

Uamuzi huo wa mahakama wa leo umezzima maswali yaliyokuwa mengi kwa watu mbali mbali kufuatia matamko ya wanasiasa na tume ya uchaguzi yalioonekana kukanganya wananchi kuwa kipi ni sahihi na kipi sio sahii kufanywa.

 Endelea kusoma Taarifa zetu tutakujuza zaidi.
Share on Google Plus

Kuhusu TAMBARARE HALISI

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment