Image
Image

EAC yashauriwa kuimarisha matumizi ya lugha ya kiswahili.

Nchi  wanachama wa Jumuiya ya Afrika  Mashariki  zimeshauriwa kuhamasisha matumizi  ya Kiswahili  hatua itakayosaidia  kuwaunganisha  wananchi  walioko vijijini na kuwawezesha kutambua  fursa  walizonazo kukuza  vipato vyao  na  kuondokana na umasi kini .
Akizungumza na baadhi  ya watendaji  wa jumuiya  hiyo Jijini  Arusha mtaalam wa  Kiswahili  kuto ka  Tanzania,HEZEKIEL  GIKAMBA amesema  lugha  hiyo  ina nafasi  kubwa  ya   kupunguza  migogoro baina   ya ma kabila .
Kwa upande wao   wataalam  kutoka  nchi   nyingine wanachama  ikiwemo  Kenya  wamesema   tatizo  la  lugha  pia  linasababisha  kuwepo  kwa  tabaka  la wasomi  na   makundi  mengine  jambo lnalosababisha  wananchi  wa kuendelea  kuona  kuwa j umuiya  ni kwa  ajili  ya viongo zi  pekee yao.
Share on Google Plus

Kuhusu TAMBARARE HALISI

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment