Image
Image

Jopo lasema serikali Mexico ilitatiza uchunguzi


Jopo la wataalamu wa kimataifa wanaochunguza kupotea kwa walimu wakurufunzi wapatao 43 mnamo mwaka 2014, linasema kuwa serikali ilitatiza uchunguzi huo.
Wataalamu hao wanapuuzilia mbali taarifa ya mwisho kwamba waalimu hao walipeanwa kwa genge la majambazi na maafisa wafisadi wa polisi.
Inasemekana kuwa genge hilo liliteketeza miili ya wanafunzi hao katika eneo la utupaji taka.
Share on Google Plus

Kuhusu TAMBARARE HALISI

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment