Image
Image

Obama kutuma wanajeshi zaidi Syria


Maafisa wakuu nchini Marekani wanasema kuwa Rais Barack Obama atatuma wanajeshi ya ziada wapatao 250 nchini Syria, ili kuunga mkono jitihada zinazofanywa na vikosi vya ndani vya nchi hiyo, katika kupambana na wapiganaji wa Islamic State.
Kwa mujibu hao wa maafisa wa Marekani, lengo hasa ni kuwasajili waarabu wa dhehebu la Sunni kuungana na wapiganaji wa kikurdi waliopo kaskazini mashariki mwa Syria.
Hata hivyo vikosi hivyo vya Marekani havitawajibika moja kwa moja katika mapambano hayo.
Share on Google Plus

Kuhusu TAMBARARE HALISI

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment