Image
Image

KESI YA UCHOCHEZI: Tundu Lissu aachiwa kwa Dhamana Kisutu.

Mbunge wa Jimbo la Singida Magharibi, Tundu Lissu akiwa katika mahakama ya hakimu mkazi ya Kisutu jijini Dar es Salaam mchana huu. Ikiwa jana Mbunge huyo alihojiwa na Jeshi la Polisi katika kituo cha Polisi cha Kanda maalumu ya Dar es Salaam na kutupwa Rumande mara baada ya kukosa dhamana.
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam leo imemuachia kwa dhamana Mbunge wa Singida Mashariki Tundu Lissu 2 Agost Mwaka huu na kutakiwa asitoke nje ya jiji la Dar es Salaam.
Tundu Lisu anashitakiwa kwa makosa ya uchochezi, mnamo tarehe 28/06/2016 akiwa eneo la Mahakama kwania ya kudharau umma dhidi ya mamlaka yao walioyoichagua kihalali, alisema huyu dikteta uchwara lazima tumpinge kila kona"


Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA),Freeman Mbowe akiwasiri mahakamani leo.
Share on Google Plus

Kuhusu TAMBARARE HALISI

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment