Image
Image

GAVANA:Huduma Mbovu za Afya chanzo cha Ugonjwa wa POLIO BORNO

Gavana wa jimbo la BORNO, KASHIM SHETTIMA amesema mlipuko mpya wa ugonjwa wa POLIO katika jimbo hilo umetokana na watoa huduma za afya
Gavana wa jimbo la BORNO, KASHIM SHETTIMA amesema mlipuko mpya wa ugonjwa wa POLIO katika jimbo hilo umetokana na watoa huduma za afya kutofika katika eneo hilo kwa hofu ya wapiganaji wa BOKO HARAM.
Amesema jamii zinazoishi katika eneo hilo hazijapata huduma za kinga ya maradhi mbalimbali ikiwepo chanjo ya POLIO tangu Desemba mwaka 2013 hadi mwishoni za mwaka 2015.
Gavana SHETTIMA alikuwa akizungumza na wakazi kijiji cha MAINOK huko KAGA eneo ambalo taasisi ya BILL na MALINDA GATES wametoa msaada wa Dola milioni MOJA kwa ajili ya kununulia chakula kwa watu zaidi ya ELFU 40 wanaoshikiliwa na kundi la BOKO HARAM.
Share on Google Plus

Kuhusu TAMBARARE HALISI

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment