Image
Image

Magaidi watatu wanyongwa katika mkoa wa Khuzestan nchini Iran.

Kwa mujibu wa habari zilizotolewa na gazeti la Keyhan la nchini Iran limefahamisha ya kwamba washukiwa watatu wanyongwa katika mkoa wa Huzistan mjini Ahvaz nchini Iran.
Washukiwa hao walinyongwa baada ya kukutwa na hatia ya kuhusika katika shambulizi la kigaidi katika kituo cha Polisi cha mjini Ahvaz ambalo lilipelekea polisi watatu kufariki na wengine wawili kujeruhiwa.
 
Share on Google Plus

Kuhusu TAMBARARE HALISI

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment