Image
Image

Waziri wa uchukuzi wa Uturuki Ahmet Arslan aituhumu Magharibi kuwaunga mkono wahaini

Waziri wa uchukuzi wa Uturuki Ahmet Arslan aituhumu Magharibi kuwaunga mkono wahaini na wasaliti.
Uwanja wa ndege wa kimataifa wa tatu mjini Istanbuli utazinduliwa katika kipindi cha miezi mitatu ya mwanzo ya mwaka 2018 kama inavyotarajiwa.
Waziri wa uchukuzi na upashaji habari Ahmet Arslan amefahamisha kuwa Magharibi inatuhiwa kwa kuunga mkono wahaini na wasaliti katika mkutano ambapo aliarifiwa kushiriki na kituo cha habari cha Anadolu uliofanyika Jumatano.
Waziri Ahmet Arslan ameituhumu Magharibi kwa kuunga mkono wahaini kuliko kushirikian a na seriakli.
Hayo waziri Ahmet Arslan aliyafahamisha alipokuwa akizungumzia matukio baada ya jaribio la mapinduzi la Julai 15.
Waziri Ahmet Arslan alimalizia akifahamisha kuwa uwanja wa ndege wa tatu mjini Istanbul utazinduliwa katika miezi mitatu ya mwanzo ya mwaka 2018.
Share on Google Plus

Kuhusu TAMBARARE HALISI

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment