Image
Image

Botswana yathibitisha kuendelea kuunga mkono ICC

Botswana ni nchi ya kwanza kutoka Afrika imetangaza hadharani kutoridhishwa na uamuzi wa Afrika Kusini kuondoka ICC na kuthibitisha kuwa itaendelea kushirikiana na kutoa msaada kwa mahakama hiyo ya kimataifa .Wizara ya mambo ya nje ilichapisha habari hiyo mitandaoni na kusema kuwa imehuzunishwa na uamuzi wa Afrika Kusini .
Mataifa mengi ya Afrika kama frika Kusini,Burundi ,Gambia na kadhalika ambayo ni wanachama wa mahakama ya Hague kwa muda wa mwezi mmoja wamekuwa wakitangaza kujiondoa kutoka kwa uanachama wao na ICC .
Uamuzi huo umesababishwa na madai kuwa ICC imekuwa ikifanya ubaguzi hasa dhidi ya viongozi wa Afrika .
Share on Google Plus

Kuhusu TAMBARARE HALISI

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment