Image
Image

NACTE yavifutia usajili vyuo 26 kwa kuto fuata taratibu za usajili.

Baraza la Taifa la elimu ya ufundi nchini Tanzania (NACTE) imevifutia usajili vyuo 26 kwa kushindwa kufuata taratibu za usajili.
Takribani vyuo 20 vimeelezwa kuendesha kozi mbalimbali bila kupata kibali cha baraza hilo ambapo sasa wanafunzi katika vyuo hivyo hawatatambulika.
Taarifa kamili baadae.
Share on Google Plus

Kuhusu TAMBARARE HALISI

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment