Image
Image

Usalama waimarishwa mpakani mwa Uturuki na Syria.

Kwa mujibu wa takwimu zilizotolewa ni kuwa watu 10,314 wakamatwa wakijaribu kuingia Uturuki kinyume na sheria.
Ripoti hiyo imetolewa na mkuu wa wafanyakazi ya watu waliotaka kuingia Uturuki kinyume na sheria kutoka Syria,Iraq na Iran kwanzia Desemba 1 hadi Desemba 11.
Watu kutoka Uturuki wanaojaribu kuingia nchi hizo za nao waliokamatwa ni 31,000.
wengi wa watu hawa wamekamatwa na madawa ya kulevya,silaha na vifaa vya chakula .
Aidha habari zafahamisha kuwa vikosi vya usalama Uturuki vinaendelea kulinda kanda hizo mpakani.
Share on Google Plus

Kuhusu TAMBARARE HALISI

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment