Image
Image

Katibu mkuu wa UN aidhinisha dola bilioni 4 na nusu kukabiliana na njaa.

Katibu wa umoja wa mataifa Antonio Guterres, ameidhinisha kiasi cha dharura cha dola billion nne na nusu kwa mashirika ya misaada ya kimataifa ili yaweze kukabiliana na janga la njaa.
Mapema wiki hii UN ilisema kuwa zaidi ya zaidi watu milioni 20 nchini Sudan Kusini, Nigeria, Somalia na Yemen wanakabiliwa baa la njaa.
Guterres amesema kuwa pamoja na ahadi Umoja wa Mataifa dola million 90 sawa na asilimia mbili ya kiwango kinachohitajika.
Ametoa rai kwa mashirika na jamii za kimataifa kufanya zaidi katika harakati za kukabiliana na janga hilo la njaa.
Share on Google Plus

Kuhusu TAMBARARE HALISI

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment