Image
Image

Kukaa kwa muda mrefu kukodolea macho kompyuta husababisha maradhi ya moyo.

Kwa wakati flani, wote hutumia muda wetu tukikodolea macho kompyuta. Tafiti zinaonyesha kuwa kukaa kwa muda mrefu kunasababisha matatizo ya maradhi ya moyo, kisukari, sonona (depression) na aina nyingine za maradhi ya saratani.
Jambo ambalo wengi wetu hatulijui ni kwamba hata tukiwa tunafanya mazoezi hakuwezi kubadilisha madhara hayo ya kukaa kitako kwa saa nane.
Utafiti huo uliofanywa kwa miaka 12 kwa raia wa Kanada 17,000 kwenye kituo cha Pennington Biomedical Reasearch kilidhihirisha kuwa bila kujali rika, mwili, uzito, au kiwango cha mazoezi, watu wanaotumia muda mwingi kukaa wana muda mfupi wa kuishi.
Share on Google Plus

Kuhusu TAMBARARE HALISI

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment