Image
Image

Uvaaji viatu,Sidiria na ubebaji Handbags husababisha matatizo ya mgongo.

Uvaaji wa viatu, sidiria zinazobana na ubebaji vibegi vya mikononi (Handbags) vizito.
Wanawake wanaopambana na maumivu ya sidiria zinazowabana, begi ndogo za mikononi au viatu kwa lengo la kuendana na mitindo mipya, huenda wakafikiri kuwa wanafanya hivyo mkwa wakati huo, la hasha, kwani wataalamu wa afya wanasema hali hiyo ya kutotulizana inaweza kuwasababishia matatizo ya mgongo kwa muda mrefu.
Pembeni mwa mgongo, uvaaji wa sidiria za zinazobana pia husababisha vipele kwenye ngozi, na maradhi mengine, hivyo wanashauriwa kutobeba vitu vizito kwenye mabega yao.
Kituo cha American Chiropractic Association kinapendekeza kuwa wanawake hawapaswi kubeba vitu vyenye uzito wa asilimia 10 ya miili yao kwa kipindi fulani endelevu. Viatu virefu via vimetajwa kusababisha tatizo hilo la mgongo.
Share on Google Plus

Kuhusu TAMBARARE HALISI

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment