Image
Image

Magufuli awasili jijini mwanza na kufungua daraja la juu la watembea kwa miguu Oktoba 30,2017.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na Bw.John Mongela Mkuu wa mkoa wa Mwanza mara baada ya kuwasili katika Uwanaja wa Ndege wa Mwanza uliopo Jijini Mwanza oktoba 30,2017.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na Viongozi wa Mkoa wa Mwanza mara baada ya kuwasili Jijini Mwanza oktoba 30,2017.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akiwahutubia wananchi wa Mwanza katika ufunguzi wa daraja la watembea kwa miguu lililopo eneo la Furahisha Jijini Mwanza oktoba 30,2017.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa TanzaniaMhe. Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na Waziri wa Ujenzi Uchukuzi na Mawasiliano Profesa Makame Mbarawa pamoja na viongozi mbalimbali akivuta utepe kwenye jiwe la ufunguzi kuashiria ufunguzi wa wa Daraja la Waenda kwa miguu la Furahisha liliopo jijini Mwanza Oktoba 30,2017.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akiwapungia mikono wananchi wa Mwanza mara baada ya kufungua daraja la watembea kwa miguu lililopo eneo la Furahisha Jijini Mwanza oktoba 30,2017.
Wanachi waliojitokeza kumshangilia Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli wakati wa kufungua daraja la watembea kwa miguu lililopo eneo la Furahisha Jijini Mwanza oktoba 30,2017.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akipiga ngoma ya mchelemchele ya Jijini Mwanza mara baada ya kufungua daraja la watembea kwa miguu lililopo eneo la Furahisha Jijini Mwanza oktoba 30,2017.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akimsalimu mtoto mwanafunzi mara baada ya kufungua daraja la watembea kwa miguu lililopo eneo la Furahisha Jijini Mwanza oktoba 30,2017.
Share on Google Plus

Kuhusu TAMBARARE HALISI

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment