Image
Image

RIPOTI MPYA:Mabadiliko ya hali ya hewa yanaathiri afya ya binaadam.

Ripoti mpya ya mabadiliko ya hali ya hewa imeonyesha kuwa kuongezeka kwa joto kunaathiri afya ya binaadam kwa kiasi kikubwa.
Ripoti hizo kutoka kundi la vyuo mbalimbali na mashirika tofauti ya umoja wa mataifa zinasema watu wengi wanaathirika na joto pamoja na mlo hafifu sambamba na kusambaa kwa magonjwa.
Katika toleo la Lancet wamesema njaa kwa kiasi kikubwa zinasababishwa na ongezeko la joto linalopelekea mimea kukauka.
Wameonyesha pia uwezekano wa kusambaa zaidi kwa ugonjwa wa malaria kutokana na mazingira kutokuwa safi.
Share on Google Plus

Kuhusu TAMBARARE HALISI

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment