Image
Image

RAMA MLA WATU’ SASA APELEKWA MIREMBE KWA UGONJWA WA AKILI.

 Rama alipandishwa basi ya Shukrani majira ya saa moja asubuhi akiwa na askari wawili waliokuwa wakimlinda kuhakikisha wanamfikisha kwenye hospitali hiyo, mpaka akili yake itakapotengemaa ndipo ataachiwa uraiani.



Ramadhan Seleman ‘Rama Mla watu’, aliyekuwa akishikiliwa na dola kwa tuhuma za mauaji ya mtoto, Salome Yohana licha ya kuondolewa hatia hiyo huku akiwekwa chini ya uangalizi baada ya kubainika kuwa na matatizo ya akili, Jumatano iliyopita alirudishwa hospitali ya waalifu ya Isanga iliyopo Mirembe, Mkoani Dodoma.

Share on Google Plus

Kuhusu TAMBARARE HALISI

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment