Askari wa jeshi la polisi wakiwa kwenye gari yao, huku wakiwa wamejikok vitu mwilini kwaajili ya kazi,huku wakizynguka kufanya doria katika baadhi ya maeneo ya jiji la Dsm kwa lengo la kujiridhisha kama kuna amani baada ya kuwep[o kwataarifa zawaislam kuandamana.
Baadhi ya waumini wa dini ya
kiislam katika msikiti wa mtambani
jijini dae es salaam wakionekana wamemzungukaaskari aliyefahamika kwa majina ya
Jonathani Tossi aliyeshika kamera, huku askari hao wanaonekana wakimuhoji baada
ya kumshikilia kwa mudawasaa kadhaa.
Aidha walimuachianakumuamuru afute
pichazote alizopigakwenye eneo hilo.
Aakari wakiwa kwenye gari yao wakiimarisha ulinzi katika msikiti wa mtambani jijini Dar es salaam baada ya kuwa na minong"ono ya waislam kuandamana kwa lengo la kupelekwa segerea ka katibu wa jumuia za kiislam nchini sheikh ponda.
0 comments:
Post a Comment