Baadhi
ya Madaktari kutoka Jimbo la Jiangsu Nchini China waliofika Ikulu Mjini
Zanzibar,wakimasikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,alipozungumza na madaktari hao leo.[Picha
na Ramadhan Othman,Ikulu.]
Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed
Shein,akizungumza na madaktari kutoka Jimbo la Jiangsu Nchini China
waliofika Ikulu Mjini Zanzibar kusalimiana na Rais,madaktari hawa
wataungana na Madaaktari wazalendo katika kutoa huduma katika Hospitali za
Serikali Unguja na Pemba.[Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.]
Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed
Shein,akizungumza na madaktari kutoka Jimbo la Jiangsu Nchini China
waliofika Ikulu Mjini Zanzibar kusalimiana na Rais,madaktari hawa
wataungana na Madaaktari wazalendo katika kutoa huduma katika Hospitali za
Serikali Unguja na Pemba.[Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.]
Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed
Shein,akiwa katika picha ya pamoja na
madaktari kutoka Jimbo la Jiangsu Nchini China waliofika
Ikulu Mjini Zanzibar kusalimiana na Rais,madaktari hawa wataungana na
Madaaktari wazalendo katika kutoa huduma katika Hospitali za Serikali
Unguja na Pemba.[Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.]
Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed
Shein,akizungumza na madaktari kutoka Jimbo la Jiangsu Nchini China
waliofika Ikulu Mjini Zanzibar kusalimiana na Rais,madaktari hawa
wataungana na Madaaktari wazalendo katika kutoa huduma katika Hospitali za
Serikali Unguja na Pemba.[Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.]
0 comments:
Post a Comment