Image
Image

HOFU YATANDA NCHINI UGANDA KUFUATIA MAGAIDI KUTEKA JUMBA LA KIBIASHARA JIJINI NAIROBI KENYA.



John Kibego.
Tukio la Kenya limezua hofu katika nchi za Afrika Mashariki ikiwemo Uganda.

Hofu imetanda kuwa huenda walioshanbulia jengo la Westgate mjini Niarobi wakageukiaUganda. 

Vicent Senyunja raia wa kawaida ameeleza hofu yake baada ya machafuko nchini Kenya yanayo endelea.

Kwa upande wake mkaguzi Mku wa Polisi Gen. Kale Kayihura amesema Uganda ina kila sababu ya kuwa chonjo bada ya jirani zetu  Kenya Kushambuliwa vibaya.

 Polisi na  wanajeshi wamaonekana kwenye sehemu mbali mbali za mijumuiko na ofisi muhimukamaile ya Waziri mku.

Uganda ni nchi yenye idadi kubwa zaidi ya walinda amaani chini ya mungano wa Afrika – AMISON wanaoisaidia Serikali yaSomaliakupambana na Wanamgambo wa Alshabab. 

Watu 74 waliuwauwa na washambuliaji wa kujitolea mwezi July 2010 na wanmgambo wa Al-shabab walidai kuhusika.
Share on Google Plus

Kuhusu TAMBARARE HALISI

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment