Image
Image

OMMY DIMPOZI ANG"ARA KIMATAIFA, TUPOGO KUPAGAWISHA WASHNGTON DC.


Ommy Dimmpoz  akifanyiwa Mahojiano na  Mtangazaji Sunday Shomari kwenye studio za  Studio za Idhaa ya Kingereza VOA, Msanii huyo yupo Ziara Woshngton DC kwa wiki tatu ambapo kesho ana tarajia kufanya shoo yake huko washngton.


 Ommy Dimmpoz  akionekana kwenye Nembo ya VOA kwa kumbukumbu Baada ya Kufika katika studio hizo.
Ommy Dimmpoz akiwa katika pozi huku akifurahi, wakati akifanyiwa Mahojiano na Studio za Idhaa ya Kingereza VOA.
Mbali na mahojiano msanii huyo aliweza kuwa mmoja wa wasanii wa Tanzania ambao wameweza kutembelea studio hizo na kujionea namna zinavyofanya kazi za urushaji wa matangazo na hata watangazaji ambao wanafanya kazi humo, sambamba na kubadilishana mawazo mawili matatu na watangazaji watanzania ambao wanafanya kazi VOA, ambapo  VOA ina idhaa 42.

Ommy amefunguka juu ya mapokezi na hata mahojiano aliyofanyiwa VOA, ambapo yalilenga zaidi kazi zake anazo zifanya na alipotoka hadi sasa, lakini yakajikita zaidi kwenye upande ya madawa ya kulevya na nanamna wasanii wavyokuwa wakiyatumia na hata kushindwa kuendelea katika sanaa na mwisho wa siku kubakia majina huku wakiwa wamesha tafunwa na mdudu MADAWA.

Kuhusu kupaform huko katika shoo Ommy awewaondoa watanzania wasiwasi na kuahidi kuwa atafanya poa kwani anamorali wa kutosha, haswa kwa mapokezi aliyoyapata huko Washngton DC.
Picha na VOA.



Share on Google Plus

Kuhusu TAMBARARE HALISI

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment