Image
Image

WENYE VIWANDA VIDOGO VIDOGO TANZANIA WAPATA MAFUNZO.





Dar es salaam.
Wenye viwanda vidogo vidogo vya bidhaa za chakula na nguo nchini Tanzania watanufaika na mafunzo ya jinsi ya kufunga bidhaa zao ili kuziongezea Thamani.

Hii ni baada ya kuwasili kwa wataalam wa kufugasha bidhaa kutoka nchi tano. 

Wataalam hao kutoka Ujerumani, Malaysia, Tunisia, Afrika Kusini na Kenya, watatoa mafunzo kwa wenye viwanda vidogo kuhusu njia bora za kufunga bidhaa zao kwa soko la ndani na pia kuuza nje ya Tanzania. 

Mafunzo hayo yatatolewa kwa muda wa siku tano.
Share on Google Plus

Kuhusu TAMBARARE HALISI

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment