Image
Image

BRUNO METSU KOCHA WA ZAMANI WA SNEGAL AFARIKI DUNIA KWA KANSA YA UTUMBO HUKO DUNKIRK.



KOCHA wa zamani wa Senegal Bruno Metsu, ambaye aliiongoza nchi hiyo kufika robo fainali ya kombe la dunia mwaka 2002, amefariki dunia akiwa na miaka 59, vyombo vya habari nchini Ufaransa vimeripoti leo hii.
 Metsu, ambaye alijulikana kama "The White Sorcerer", pia aliwahi kuifundisha Guinea, Qatar, na klabu kadhaa huko Uarabuni.
Gazeti la Local La Voix du Nord, sports daily L'Equipe na France Football magazine wameripoti kwamba Metsu, ambaye alistaafu kazi ya ukocha akiwa na klabu ya Al Wasl ya Dubai mwaka uliopita ili kupambana na kansa ya utumbo, alifariki dunia usiku wa kuamkia leo nyumbani kwake Dunkirk kaskazini mwa France.
 Www.sports.com
Share on Google Plus

Kuhusu TAMBARARE HALISI

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment