Kutoka kushoto ni
Katibu Mtendaji Ofisi ya Rais Tume ya Mipango Dkt. Philip Mpango, Katibu Mkuu
Wizara ya Fedha Dkt. Silvacius Likwelile, Kamishna wa Sera Bw. Beda Shallanda
na Kamishna wa Fedha za Nje Bw. Said Magonya wakijadiliana jambo kabla ya
kuanza kwa majadiliano ya mkutano wa madola.
Ujumbe wa Tanzania
ukifuatilia kwa majadiliano ya Jumuiya ya Madola.
Mwenyekiti wa
majadiliano ya mkutano wa Madola Bw. Sheku Sesay akifafanua jambo.
Picha zote na Bi. Eva Valerian – Washington DC
0 comments:
Post a Comment