Image
Image

Ajali yaua 1 nakujeruhi 36 mkoani Shinyanga

Mtu mmoja amekufa na wengine 36 kujeruhiwa baada ya basi la kampuni ya NGUMUO walilokuwa wakisafiria kutoka MOSHI kwenda KAHAMA mkoani SHINYANGA kugongwa na lori na kusababisha basi hilo kuacha njia na kupinduka.
Kamanda wa Polisi mkoa wa SINGIDA, THOBIAS SEDOYEKA amethibitisha kutokea kwa ajili hiyo ambapo ametaja chanzo cha ajali
Majeruhi wanaendelea kupatiwa matibabu katika hospitali ya mkoa na wengine wamepatiwa matibabu na kuruhusiwa .
Share on Google Plus

Kuhusu TAMBARARE HALISI

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment