Image
Image

Ndege ya kwanza inayotumia umeme jua yaruka nchini SAUDI ARABIA

Ndege ya kwanza isiyotumia mafuta, imeruka kutoka mjini ABUDHABI, SAUDI ARABIA, ikianza safari ya kuzunguka dunia kupitia bahari ya ATLANTIKI.
Marubani wanaorusha ndege hiyo inayotumia mwanga wa jua, ambao ni raia wa USWIZI, wanasema wanataka kuithibitishia dunia kuwa ndege inaweza kuruka bila kutumia mafuta.
Ndege hiyo inayotumia mwanga wa jua kuruka, kwa ndani ina ukubwa sawa na gari la familia na marubani hao wamesema wanataka kuthibitisha kuwa ndege hiyo inaweza kubeba abiria na kuruka umbali mrefu bila nyongeza ya mafuta.

Ndege hiyo inatarajiwa kumalizia safari yake pale ilipoanzia, ABUDHABI.
Share on Google Plus

Kuhusu TAMBARARE HALISI

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment