Image
Image

Ndege ya shirika la ndege la ujerumani yaanguka nchini ufaransa ikiwa na abiria 142 eneo la Barcelonnette




Ndege ya Shirika la Ndege la Ujerumani la German-wingsaina aina ya Airbus A320 ikiwa na abiria 142 na wahudumu wa ndege sita imeanguka nchini Ufaransa kati ya eneo la Barcelonnette na Digne.


Maafisa wa Mamlaka ya Usalama wa Ndege nchini Ufaransa kwa kushirikiana na polisi imesema ndege hiyo ilikuwa ikitokea Barcelona kwenda mji wa Dusseldorf nchini Ujerumani. Ndege hiyo inamilikiwa na shirika mama la Lufthansa.

Rais wa Ufaransa Francois Hollande amesema haijabainishwa jinsi ajali hiyo ilivyotokea lakini inapelekea kufikiria kuwa hakuna mtu aliyenusurika kwenye ajali hiyo. 

Share on Google Plus

Kuhusu TAMBARARE HALISI

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment