Katika kauli yake kwa vyombo vya
habari Dr. Mengi amesema taarifa
ya Gazeti hilo iliyouliza swali ,ZITTO AMCHONGEA
MENGI KWA JK ambayo pia imesema Rais Kikwete aliapa kupambana naye inampa hofu kubwa
kuhusu mustakabali wa maisha yake kutokana na kuachwa kuendelea kusambaa kwa
tuhuma hizo.
Home
News
Dk.Mengi ashtushwa na tuhuma zinazodai kuwa ana nia ya kutaka kuiangusha serikali ya Rais Kikwete.
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)
0 comments:
Post a Comment