Meya wa
Manispaa ya Kinondoni, Yusuph Mwenda akimsikiliza kwa makini mfanyabiashara wa
Kuku katika soko la Mburahati, Mkude Higilo (kulia) wakati alipofanya ziara
sokoni hapo kukutana na wafanyabiashara kuzungumzia mradi wa ujenzi mpya wa
soko hilo mwishoni mwa wiki, Dar es Salaam. Kulia kwake ni Naibu Meya, Songoro
Mnyonge.
Meya wa Manispaa ya Kinondoni, Yusuph Mwenda akisisitiza jambo kwa viongozi wa soko la Mburahati wakati alipofanya ziara sokoni hapo, Dar es Salaam mwishoni mwa wiki na kukutana na wafanyabiashara kuzungumzia mradi wa ujenzi mpya wa soko hilo. Kushoto kwake ni Naibu Meya, Songoro Mnyonge, Katibu wa wafanyabiashara wa soko hilo, Fikiri Pazi na wafanyabiashara wengine.>>>BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
0 comments:
Post a Comment