Image
Image

Andy Murray kumvaa Joao Sousa.


Mashindano ya tenis ya French Open yanaendelea tena leo hii wakati waingireza wawili ,Andy Murray na Heather Watson wanashuka dimbani kucheza katika mzunguko wa pili.
Murry anatarajiwa kuvaana na Mreno Joao Sousa, wakati Watson atakwaana na Mmarekani Sloane Stephens. Wakati hayo yakijiri mchezaji Kyle Edmund ambaye ni raia wa Afrika kusini aliyezaliwa Uingereza, yeye amejiondoa katika mashindano hayo kabla ya kukutana na Nick Kyrgios kutoka Australia. Naye nyota nambari moja duniani katika tenis Novak Djokovic, Rafael Nadal na Serena Williams wapo katika mapambano kwa siku tano.

Share on Google Plus

Kuhusu TAMBARARE HALISI

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment