Image
Image

Ndugu Edward Ngoyai Lowassa Kutangaza nia ya kuteuliwa kuwa Rais awamu ya Tano tanzania Tarehe 30 May.


Siku iliyokuwa inasubiriwa kwa hamu imewadia
Ndugu Edward Ngoyai Lowassa anatarajia kutangaza nia ya kuomba ridhaa ya Chama Cha Mapinduzi ili aweze kuteuliwa kugombea urais wa awamu ya tano wa jamhuri ya muungano wa Tanzani.Katika uwanja wa Sheikh Amri Abeid Arusha ni jumamosi ya leo ya tarehe 30.
     Hii ni historia muhimu katika Nchi Yetu.
  Vituo vya Runinga na radio zitaonyesha live.

Share on Google Plus

Kuhusu TAMBARARE HALISI

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment